read
news & Articles

Banda: Haikuwa rahisi kupata tuzo ya mchezaji bora
Winga Peter Banda ameweka wazi kuwa haikuwa rahisi kupata tuzo ya mchezaji bora wa mashabiki wa mwezi Machi kutokana uwezo mkubwa wa wachezaji ambao ameingia

Pablo: Tulistahili kushinda, asanteni wachezaji, mashabiki
Kocha Mkuu Pablo Franco amesema tulikuwa katika kiwango bora kwenye mchezo dhidi ya US Gendarmerie na tulistahili kupata ushindi huo mnono wa mabao 4-0 na

Tumetinga Robo Fainali Shirikisho kibabe
Timu yetu imefanikiwa kutinga robo fainali ya michuano ya Kombe la Shirikisho barani Afrika kwa kushindo baada ya kuichakaza bila huruma US Gendarmerie mabao 4-0

Mugalu, Morrison kuongoza mashabulizi dhidi ya USGN
Mshambuliaji Chris Mugalu na kiungo mshambuliaji Bernard Morrison wataongoza safu ya ushambuliaji katika mchezo wetu wa leo wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi y US

Iwe jua, iwe mvua tunahitaji ushindi kutinga robo fainali
Hakuna neno moja unaweza kuzungumzia mchezo wetu wa mwisho wa kundi D wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya US Gandarmerie utakaopigwa saa nne usiku

Pablo: Tunataka kuwapa furaha mashabiki kesho
Kocha Mkuu Pablo Franco amesema tumejiandaa vizuri kuelekea katika mchezo wa kesho wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya US Gandarmerie na tupo tayari kuwapa
