read
news & Articles
Kauli ya Kocha Hitimana baada ya ushindi dhidi ya Namungo
Kaimu Kocha Mkuu, Hitimana Thierry amesema tutatumia mapumziko ya wiki mbili ya kupisha mechi za Kimataifa kuendelea kuimarisha kikosi chetu ili kurejesha makali yetu. Hitimana
Kagere aibeba Simba dakika za jioni
Bao la dakika ya mwisho lililofungwa na mshambuliaji Medie Kagere limetosha kutupa pointi tatu muhimu dhidi ya Namungo FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya
Mhilu, Mkude kuanza dhidi ya Namungo
Winga Yusuph Mhilu na kiungo mkabaji Jonas Mkude wamepangwa kuanza katika mchezo wa wetu wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Namungo FC utakaopigwa leo
Dilunga Mchezaji Bora Simba Oktoba
Kiungo mshambuliaji, Hassan Dilunga, amechaguliwa mchezaji bora wa mwezi Oktoba wa mashabiki wa Emirate Aluminium ACP kutokana na umahiri mkubwa aliouonyesha. Katika mwezi Oktoba Dilunga
Tupo tayari kupigania pointi tatu dhidi ya Namungo leo
Kikosi chetu kipo tayari kwa ajili ya kupambania alama tatu muhimu kutoka kwa Namungo FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC utakaopigwa Uwanja wa
Tumejipanga kurejesha hali ya kujiamini kwa Namungo
Baada ya kupitia kipindi kigumu cha kutopata matokeo tunayoyatarajia tumejipanga kuhakikisha tunaibuka na ushindi dhidi ya Namungo FC kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya NBC