read
news & Articles
Hitimana: Tumecheza kwa presha kubwa
Kaimu Kocha Mkuu Hitimana Thierry, amesema katika mchezo wa leo dhidi ya Polisi Tanzania tulicheza kwa presha lakini tunashukuru kwa kupata alama tatu muhimu. Hitimana
Simba yaendeleza ubabe kwa Polisi Tanzania
Kikosi chetu kimeibuka na ushindi wa bao moja dhidi ya Polisi Tanzania katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC uliopigwa katika Uwanja wa Benjamin Mkapa
Kibu, Kagere kuiongoza Simba dhidi ya Polisi Tanzania
Washambuliaji Kibu Denis na Medie Kagere wataongoza idara yetu ya ushambuliaji katika mchezo wa leo wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Polisi Tanzania utakaopigwa
Tunarejea kwa Mkapa NBC Premier kwa mara ya kwanza
Baada ya kucheza mechi mbili mikoani kwa mara ya kwanza leo kikosi chetu kinarejea kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa kuikabili Polisi Tanzania katika mchezo wa
Gomes: Nitabaki kuwa shabiki mkubwa wa Simba
Aliyekuwa Kocha Mkuu Didier Gomes, amesema Simba itabaki moyoni mwake na ataendelea kuishabikia kutokana na ushirikiano mkubwa alioupata muda wote aliokuwapo. Gomes amesema ataendelea kuiunga
Simba yapangwa na Red Arrows ya Zambia Shirikisho Afrika
Kikosi chetu kimepangwa na Red Arrows kutoka Zambia katika mchezo wa mtoano wa Kombe la Shirikisho barani Afrika. Droo ya michuano hiyo imefanyika jijini Cairo