read
news & Articles

Pablo: Tuko tayari kwa Orlando
Kocha Mkuu Pablo Franco, amesema kikosi kiko tayari kwa ajili ya mchezo wa Robo Fainali ya Michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika utakaopigwa kesho katika

Mzamiru: Wachezaji tuna ‘mzuka’ wa kutinga Nusu Fainali
Kiungo mkabaji Mzamiru Yassin, ameweka wazi kuwa dhamira ya wachezaji wote ni kuhakikisha tunaitoa Orlando Pirates na kuingia Nusu Fainali ya Michuano ya Kombe la

Queens yaipiga kitu kizito Oysterbay Queens
Timu yetu ya Wanawake Simba Queens, imeendelea kutoa dozi nzito kwa kila anayekutana naye baada ya kuichakaza bila huruma Oysterbay Queens mabao 7-0 katika mchezo

‘Vibe’ la Wanasimba Kigamboni usipime
Meneja wa Habari na Mawasiliano wa klabu, Ahmed Ally amewaongoza mashabiki na wapenzi wa Simba Kigamboni kuhamasisha kuelekea mchezo wetu wa Robo Fainali ya Kombe

Mangungu: Mageti yatafunguliwa saa tisa Jumapili
Mwenyekiti wa klabu upande wa wanachama, Murtaza Mangungu amesema mageti ya Uwanja wa Benjamin Mkapa yatafunguliwa saa tisa alasiri katika mchezo wetu wa Kombe la

Kaduguda auota ubingwa wa Shirikisho Afrika
Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa klabu, Mwina Kaduguda ameweka wazi kuwa lengo letu msimu huu liwe kuchukua taji la Kombe la Shirikisho Afrika ili
