read
news & Articles
Alichosema Kocha Pablo kabla ya kuifuata Ruvu Shooting
Kocha Mkuu Pablo Franco, ameweka wazi kuwa tunahitaji kupata alama tatu katika mchezo wa ligi dhidi ya Ruvu Shooting utakaopigwa Ijumaa ili kuongeza hali ya
Habari Picha: Simba katika mazoezi ya jioni
Kikosi chetu kimeendelea na mazoezi ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya mchezo wetu wa ligi dhidi ya Ruvu Shooting utakaofanyika Ijumaa, CCM Kirumba. Mazoezi hayo
Simba yashusha kocha wa viungo kutoka Hispania
Klabu yetu imefanikiwa kumpata kocha mpya wa viungo, Daniel De Castro Rayes raia Hispania ambaye anakuja kuongeza nguvu katika benchi la ufundi. De Castro anaungana
Simba kuingia kambini kujiandaa na Ruvu Shooting
Kikosi chetu kitaingia kambini leo baada ya mazoezi ya jioni kujiandaa na mchezo wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Ruvu Shooting utakaopigwa Novemba katika
Simba yajipima na Cambiaso mbele ya Pablo
Kocha Mkuu Pablo Franco, leo ameshuhudia mchezo wa kirafiki wa kimazoezi dhidi ya Cambiaso Sports uliopigwa saa 10 jioni katika Uwanja wa Boko Veterans na
Pablo aanza kazi Simba
Kocha Mkuu Pablo Franco, leo ameanza rasmi kukiongoza kikosi chetu katika mazoezi yake ya kwanza tangu ajiunge nasi. Kocha Pablo ametua nchini juzi kutoka Hispania