read

news & Articles

Simba Queens haipoi, haiboi

Timu yetu ya Wanawake ya Simba Queens imeendelea kutoa dozi katika Ligi ya Wanawake (Serengeti Women’s Premier League) baada ya kuichapa Alliance Girls mabao 2-0

Pablo: Kesho tunakwenda kubadili historia

Kocha Mkuu Pablo Franco, amesema kesho tunakwenda kubadili historia ya kufanikiwa kutinga Fainali ya Michuano ya Mapinduzi mara nyingi lakini tumeshindwa kuchukua taji. Katika miaka

Banda na mikakati ya AFCON

Nyota wetu Peter Banda, ambaye yuko katika timu yake ya taifa ya Malawi (The Flames) inayoshiriki Michuano ya AFCON nchini Cameroon amesema wanapaswa kuongeza jitihada

Pablo awamwagia sifa wachezaji

Kocha Mkuu Pablo Franco, amewasifu wachezaji kwa kujituma ywanjani wakati wote na kuonyesha kiwango safi uliofanikisha ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Namungo. Amesema kwa

Sakho mchezaji bora dhidi ya Namungo

Kiungo mshambuliaji Pape Ousmane Sakho, amechaguliwa mchezaji bora wa mchezo wetu wa Nusu Fainali ya Michuano ya Mapinduzi dhidi Namungo FC baada ya kuonyesha kiwango

Sisi haooo Fainali Mapinduzi kibabe

Kikosi chetu kimetinga Fainali ya Michuano ya Mapinduzi kwa kishindo baada ya kuifunga Namungo FC mabao 2-0 mchezo uliopigwa Uwanja wa Amani Visiwani Zanzibar. Medie

subscribe

sign up for our newsletter:

Get news straight from Simba SC