read
news & Articles

Mangungu aongoza Wanasimba kumuaga Dk. Gembe
Mwenyekiti wa Klabu Upande wa Wanachama, Murtaza Mangungu amewaongoza wanachama, wapenzi na mashabiki kuaga mwili wa aliyekuwa daktari wa timu yetu Yassin Gembe aliyefariki dunia

Tumepoteza mbele ya Arta Solar 7
Mchezo wetu wa kirafiki wa kimataifa dhidi ya Arta Solar 7 kutoka Djibouti uliopigwa Uwanja wa Uhuru umemalizika kwa kupoteza kwa bao moja. Mchezo huo

Kikosi kitacho tuwakilisha dhidi ya Arta Solar 7
Mshambuliaji Moses Phiri amepangwa kuongoza mashambulizi katika mchezo wetu wa kirafiki wa kimataifa dhidi ya Arta Solar 7 kutoka Djibouti utakaopigwa Uwanja wa Uhuru. Phiri

Africarriers yakabidhi basi kwa Simba Queens
Kampuni ya uuzaji wa magari Africarriers imetoa basi kwa timu yetu ya Wanawake ya Simba Queens kwa ajili ya usafiri wa ndani ikiwa ni sehemu

Tumehitimisha Michuano Maalumu kwa kubadilishana zawadi na Al Hilal
Mwenyekiti wa klabu upande wa wanachama, Murtaza Mangungu amemkabidhi zawadi ya jezi Mweka Hazina wa Al Hilal, Farik Yahya Mohammad huku na yeye akimkabidhi ngao

Tumepoteza mbele ya Al Hilal
Mchezo wetu wa mwisho wa kirafiki wa kimataifa dhidi ya Al Hilal umemalizika kwa kupoteza kwa bao moja mtanange uliopigwa Uwanja wa Al Hilal nchini