read
news & Articles
Pablo: Ubora wa Uwanja utaifanya mechi kuwa nzuri kesho
Kocha Mkuu Pablo Franco, ameweka wazi kuwa mchezo wetu wa kesho dhidi ya Kagera Sugar utakuwa mzuri kuutazama sababu eneo la kuchezea (pitch) la Uwanja
Timu yatua salama mkoani Kagera
Kikosi chetu kimewasili salama mkoani Kagera tayari kwa mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Kagera Sugar utakaopigwa Uwanja wa Kaitaba saa
Timu kuondoka kesho asubuhi kuifuata Kagera
Kikosi chetu kitaondoka kesho asubuhi kuelekea mkoani Kagera tayari kwa mchezo wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya wenyeji Kagera Sugar utakaopigwa Jumatano Uwanja wa
Simba U20 yazidi kutoa dozi Ligi ya Vijana
Timu yetu ya vijana chini ya umri wa miaka 20 imeendelea kufanya vizuri katika michuano ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) baada ya kuifunga Cambiaso
Simba, Mtibwa hakuna mbabe
Mchezo wetu wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Mtibwa Sugar uliopigwa Uwanja wa Manungu Complex mkoani Morogoro umemalizika kwa sare ya bila kufungana. Mchezo
Nyota watakaotuwakilisha dhidi ya Mtibwa leo
Muda mfupi ujao kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa Manungu Complex mkoani Morogoro kucheza na Mtibwa Sugar katika mchezo wa Ligi ya NBC utakaoanza saa