read
news & Articles
Matola afunguka ukame wa mabao
Kocha Msaidizi Seleman Matola, ameweka wazi kuwa suala la ukame wa mabao linaendelea kufanyiwa kazi mazoezini na matunda yake huenda yakaanza kuonekana kesho katika mchezo
Simba Queens yaichakaza JKT 7-0
Timu yetu ya Simba Queens imeendelea kuwa moto wa kuotea mbali katika Ligi ya Wanawake ya (Serengeti Lite Women’s Premier League) baada ya kuichakaza bila
Matola: Tulistahili ushindi
Kocha Msaidizi Seleman Matola, amesema tulikuwa bora kwenye mchezo wa leo dhidi ya Tanzania Prisons na tulistahili kupata ushindi. Matola amesema Prisons walicheza mchezo wa
Tumechukua pointi tatu zetu kwa Prisons
Kikosi chetu kimefanikiwa kuondoka na alama tatu muhimu baada ya kuifunga Tanzania Prisons bao moja katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC uliofanyika Uwanja wa
Kikosi kitakachotuwakilisha dhidi ya Prisons leo
Mabeki Mohamed Hussein na Joash Onyango wamerejea katika kikosi kilichopangwa kuikabili Tanzania Prisons kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya NBC utakaopigwa Uwanja kwa Benjamin Mkapa
Alama tatu tu dhidi ya Prisons leo
Kikosi chetu kitashuka leo katika Uwanja wa Benjamin Mkapa kuikabili Tanzania Prisons kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya NBC ambao utaanza saa moja usiku. Katika