read
news & Articles
Zungu mgeni rasmi mechi dhidi ya ASEC
Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Mussa Azan Zungu ndiye mgeni rasmi wa mchezo wetu wa Kombe la Shirikisho Afrika
Simba kuendelea kutangaza Utalii Shirikisho Afrika
Klabu yetu itaendelea kutangaza utalii katika michuano ya Kombe la Shirikisho barani Afrika kama tulivyofanya msimu uliopita kwenye Ligi ya Mabingwa. Katika mechi zetu za
Opa Mchezaji Bora Januari
Mshambuliaji nyota wa Timu ya Simba Queens, Opa Clement amechaguliwa Mchezaji Bora wa Ligi Kuu ya Wanawake (Serengeti Lite Women’s Premier League) wa mwezi Januari.
Sakho akabidhiwa tuzo yake na Emirate
Kiungo mshambuliaji Pape Sakho, amekabidhiwa Tuzo yake ya Mchezaji Bora wa Mashabiki wa Januari (Emirate Aluminium ACP Simba Fans Player of the Month). Sakho amepewa
Wawa: Hatutacheza kwa presha dhidi ya ASEC
Licha ya kuwaheshimu wapinzani wetu wa Kombe la Shirikisho Afrika hatua ya makundi, Asec Mimosas kutokana na kuwa bora lakini hatutaingia uwanjani tukiwa na presha
Kapombe: Malengo yetu Ligi ya Mabingwa tumehamishia Shirikisho
Mlinzi wa kulia Shomari Kapombe, ameweka wazi kuwa malengo yetu ya kufika hatua za juu katika Michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika sasa tumehamishia Kombe