read
news & Articles

Tumegawana pointi na mtani
Mchezo wetu wa Ligi Kuu ya NBC dhidi watani wetu ya jadi Yanga uliopigwa Uwanja wa Benjamin Mkapa umemalizika kwa sare ya bao moja. Tulianza

Kikosi Kitakachotuwakilisha dhidi ya Yanga leo
Mshambuliaji kinara Moses Phiri amepangwa kuongoza mashambulizi katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya watani wetu Yanga utakaopigwa Uwanja wa Benjamin Mkapa saa

Tuko kamili kwa ajili ya mtani leo
Kikosi chetu leo kitashuka katika Uwanja wa Benjamin Mkapa kuwakabili watani wetu wa jadi Yanga katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC ambao utaanza saa

Timu yafanya mazoezi ya mwisho Mo Arena
Kikosi chetu kimefanya mazoezi ya mwisho katika Uwanja wa Mo Simba Arena kujiandaa na mchezo wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya watani wetu Yanga

Mgunda: Tuko tayari kwa Derby
Kocha Mkuu Juma Mgunda, amesema maandalizi ya mchezo wa Derby dhidi ya Yanga yamekamilika na wachezaji wote wapo kwenye hali nzuri. Mgunda amesema utakuwa mchezo

Queens yaichapa Yanga Princess Tamasha la Wanawake
Timu yetu ya Wanawake ya Simba Queens imefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Yanga Princess katika mchezo wa kuhitimisha Tamasha la Kimataifa