read
news & Articles

Queens ipo tayari kwa Ligi ya Mabingwa Afrika
Kocha Mkuu Charles Lukula amesema kikosi chetu kipo tayari kwa mchezo wa ufunguzi wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya wenyeji ASFAR FC ya Morocco

Mgunda: Tuko tayari kwa Mtibwa kesho
Kocha Mkuu Juma Mgunda amesema kikosi kipo tayari kwa mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Mtibwa Sugar utakaopigwa Uwanja wa Benjamin

Mo Assurance yaingia mkataba wa bima ya afya na Klabu
Kampuni ya Bima ya Mo Assurance imeingia mkataba wa miaka miwili ya kugharamia huduma za afya kwa wafanyakazi wote wa klabu sanjari na kutoa kitita

Queens yafanya mazoezi ya kwanza Morocco
Kikosi chetu kimefanya mazoezi ya kwanza tangu kiwasili nchini Morocco leo jioni katika Uwanja wa Academia Fus Rabat. Baada ya timu kufika Morocco jana jioni

Tumepoteza Derby ya Mzizima
Mchezo wetu wa Ligi kuu ya NBC dhidi ya Azam FC ‘Mzizima Derby’ uliopigwa Uwanja wa Benjamin Mkapa umemalizika kwa kupoteza bao moja. Mchezo ulianza

Queens yapata mapokezi mazuri Morocco
Shirikisho la Soka nchini Morocco (FRMF) limetupatia mapokezi mazuri tangu tuwasili nchini hapa jana kwa ajili ya michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Hayo yamethibitishwa