read
news & Articles
Kauli ya Pablo kuelekea mechi dhidi ya Berkane
Kocha Mkuu Pablo Franco, ameweka wazi kuwa mchezo wa kesho wa hatua ya makundi wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya RS Berkane utakuwa mgumu
Timu yawasili salama Berkane
Timu yetu imewasili salama katika Mji wa Berkane kutoka jiji la Casablanca tayari kwa mchezo wa kesho wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya RS
Timu kuondoka usiku kuelekea Berkane
Kikosi chetu kinatarajia kuondoka usiku jijini Casablanca kuelekea Mji wa Berkane tayari kwa mchezo wa hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya
Timu yawasili salama Morocco
Kikosi chetu kimewasili salama nchini Morocco jioni hii tayari kuanza maandalizi ya mchezo wa tatu wa hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi
Queens yavunja kambi
Timu yetu ya Simba Queens leo imevunja kambi baada Ligi ya Wanawake (Serengeti Lite Women’s Premier) kusimama kupisha mechi za kimataifa. Wachezaji wamepewa mapumziko ya
Timu kupumzika Uturuki, kupaa Morocco kesho
Kikosi chetu kitaendelea kubaki jijini Istanbul Uturuki hadi kesho saa tano asubuhi kitapoanza safari ya kuelekea Casablanca Morocco kwa ajili ya kambi fupi ya maandalizi.