read

news & Articles

Timu yawasili salama Berkane

Timu yetu imewasili salama katika Mji wa Berkane kutoka jiji la Casablanca tayari kwa mchezo wa kesho wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya RS

Timu kuondoka usiku kuelekea Berkane

Kikosi chetu kinatarajia kuondoka usiku jijini Casablanca kuelekea Mji wa Berkane tayari kwa mchezo wa hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya

Timu yawasili salama Morocco

Kikosi chetu kimewasili salama nchini Morocco jioni hii tayari kuanza maandalizi ya mchezo wa tatu wa hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi

Queens yavunja kambi

Timu yetu ya Simba Queens leo imevunja kambi baada Ligi ya Wanawake (Serengeti Lite Women’s Premier) kusimama kupisha mechi za kimataifa. Wachezaji wamepewa mapumziko ya

Timu kupumzika Uturuki, kupaa Morocco kesho

Kikosi chetu kitaendelea kubaki jijini Istanbul Uturuki hadi kesho saa tano asubuhi kitapoanza safari ya kuelekea Casablanca Morocco kwa ajili ya kambi fupi ya maandalizi.

subscribe

sign up for our newsletter:

Get news straight from Simba SC