read
news & Articles
Timu yarejea nyumbani salama
Kikosi chetu kimewasili salama jijini Dar es Salaam leo mchana kutoka nchini Morocco baada ya majukumu ya Kombe la Shirikisho Afrika hatua ya makundi kukamilika.
Timu yaanza safari kurejea nyumbani, kutua Dar kesho mchana
Kikosi chetu kimeanza safari ya kurejea nyumbani baada ya kumaliza mchezo wa Kombe la Shirikisho barani Afrika hatua ya makundi dhidi ya RS Berkane uliopigwa
Kapombe, Banda, Henock kuchuana mchezaji bora Februari
Wachezaji watatu Shomari Kapombe, Peter Banda na Henock Inonga wameingia fainali ya kinyang’anyiro cha kumtafuta mchezaji bora wa mashabiki wa mwezi Februari (Emirate Aluminium Simba
Alichosema Pablo baada ya mechi ya jana
Baada ya kupoteza kwa mabao 2-0 dhidi ya RS Berkane katika mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika, Kocha Mkuu Pablo Franco, amesema kwa sasa tunaweka
Tumepoteza pointi tatu ugenini
Kikosi chetu kimepoteza pointi tatu muhimu ugenini baada ya kufungwa mabao 2-0 dhidi ya RS Berkane katika mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika uliofanyika Uwanja
Kikosi kitakachotuwakilisha dhidi ya RS Berkane leo
Kocha Mkuu Pablo Franco, leo atawaanzisha viungo watatu wakabaji katika mchezo wetu wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya RS Berkane utakaopigiwa saa nne usiku