read
news & Articles

Tumefanikiwa kupata pointi tatu kwa Namungo
Kikosi chetu kimefanikiwa kupata alama tatu muhimu baada ya kuibuka na ushindi wa bao moja dhidi ya Namungo katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC

Kikosi kitakachotuwakilisha dhidi ya Namungo leo
Mshambuaji Moses Phiri amepangwa kuongoza safu ya ushambuliaji katika mchezo wetu wa leo wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Namungo utakaopigwa Uwanja wa Benjamin

Tupo kwa Mkapa kuikabili Namungo leo
Kikosi chetu leo kitashuka katika Uwanja wa Benjamin Mkapa saa moja usiku kuikabili Namungo FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC. Tupo kwa Mkapa

Kauli ya Kocha Mgunda kuelekea mchezo wa kesho dhidi ya Namungo
Kocha Mkuu Juma Mgunda, amesema maandalizi ya mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Namungo FC yamekamilika na lengo letu ni kuhakikisha

Mzamiru: Tuzo za Emirate zimeongeza kitu kikubwa kwa wachezaji
Mshindi wa mwezi Oktoba wa tuzo ya mashabiki (Emirate Aluminium Profile Simba Fans Player of the Month) Mzamiru Yassin amesema kila mchezaji anapambana kuipata na

Queens kuanza safari ya kurejea nyumbani
Baada ya kuwepo nchini Morocco takribani wiki tatu kushiriki Michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika kikosi chetu leo kimeanza safari ya kurejea nyumbani. Saa nne