read
news & Articles
Victor Akpan ni Mnyama
Klabu yetu imefikia makubaliano ya kumsajili kiungo mkabaji Victor Akpan raia wa Nigeria kutoka Coastal Union kwa mkataba wa miaka miwili. Akpan amekuwa mhimili katika
Rasmi Kyombo ni Mnyama
Klabu yetu imefikia makubaliano ya kumsajili mshambuliaji Habibu Kyombo, kutoka Mbeya Kwanza kwa mkataba wa miaka miwili. Kyombo anakuja kuboresha na kurudisha makali ya safu
Inonga beki bora Ligi Kuu ya NBC
Mlinzi wetu wa kati Henock Inonga amechaguliwa beki bora wa Ligi Kuu ya NBC 2021/22 katika hafla ya tuzo za TFF zilizotolewa usiku huu. Inonga
Queens yang’ara tuzo za TFF
Timu yetu ya Simba Queens imefanikiwa kunyakua tuzo tano katika hafla ya ugawaji iliyofanyika Hoteli ya Rotana jijini Dar es Salaam. Queens imepata tuzo ya
Queens yashusha kifaa kingine
Kikosi chetu cha Simba Queens kimezidi kujiimarisha baada ya kukamilisha usajili wa mshambuliaji mwingine, Topistar Situma. Topistar anatokea Kikosi cha Vihiga Queens ambao ndiyo mabingwa
Sakho Mchezaji Bora wa Ligi Kuu ya NBC
Kiungo wetu mshambuliaji Pape Sakho, amechaguliwa mchezaji bora wa Ligi Kuu ya NBC wa mwezi Juni kutokana na kiwango bora alichokionyesha. Sakho amewashinda Idris Mbombo