read

news & Articles

Victor Akpan ni Mnyama

Klabu yetu imefikia makubaliano ya kumsajili kiungo mkabaji Victor Akpan raia wa Nigeria kutoka Coastal Union kwa mkataba wa miaka miwili. Akpan amekuwa mhimili katika

Rasmi Kyombo ni Mnyama

Klabu yetu imefikia makubaliano ya kumsajili mshambuliaji Habibu Kyombo, kutoka Mbeya Kwanza kwa mkataba wa miaka miwili. Kyombo anakuja kuboresha na kurudisha makali ya safu

Inonga beki bora Ligi Kuu ya NBC

Mlinzi wetu wa kati Henock Inonga amechaguliwa beki bora wa Ligi Kuu ya NBC 2021/22 katika hafla ya tuzo za TFF zilizotolewa usiku huu. Inonga

Queens yang’ara tuzo za TFF

Timu yetu ya Simba Queens imefanikiwa kunyakua tuzo tano katika hafla ya ugawaji iliyofanyika Hoteli ya Rotana jijini Dar es Salaam. Queens imepata tuzo ya

Queens yashusha kifaa kingine

Kikosi chetu cha Simba Queens kimezidi kujiimarisha baada ya kukamilisha usajili wa mshambuliaji mwingine, Topistar Situma. Topistar anatokea Kikosi cha Vihiga Queens ambao ndiyo  mabingwa

Sakho Mchezaji Bora wa Ligi Kuu ya NBC

Kiungo wetu mshambuliaji Pape Sakho, amechaguliwa mchezaji bora wa Ligi Kuu ya NBC wa mwezi Juni kutokana na kiwango bora alichokionyesha. Sakho amewashinda Idris Mbombo

subscribe

sign up for our newsletter:

Get news straight from Simba SC