read
news & Articles
Watano waitwa Taifa Stars
Wachezaji wetu watano wameitwa kwenye kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania kinachojiandaa na michuano ya Afrika kwa wachezaji wa ndani (CHAN). Stars itacheza mechi
Wachezaji wafanyiwa vipimo kabla ya kupaa Misri
Wachezaji wetu wamefanyiwa vipimo katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) leo, kabla ya kusafiri kuelekea nchini Misri tayari kwa maandalizi ya msimu mpya wa ligi
Okrah ni Mwekundu na Mweupe
Klabu yetu imefanikiwa kuinasa saini ya kiungo mshambuliaji Augustine Okrah kutoka Bechem United inayoshiriki Ligi Kuu nchini Ghana kwa mkataba wa miaka miwili. Okrah (28),
Timu kupaa Misri Alhamisi kwa Pre Season
Kikosi chetu kitaondoka nchini Alhamisi kuelekea Misri tayari kwa maandalizi ya msimu mpya wa ligi (Pre Season) 2022/23. Wachezaji wote ambao tutakuwa nao msimu ujao
Zoran: Sina presha kufanya kazi Simba
Kocha wetu mpya Zoran Maki amekiri Simba ni timu kubwa lakini hana presha kuiongoza kwani amefanya kazi katika Bara la Afrika kwa miaka sita. Zoran
Kapama ni Mnyama
Klabu yetu imefikia makubaliano ya kumsajili kiungo nyota Nassoro Kapama kutoka Kagera Sugar kwa mkataba wa miaka miwili. Kapama ana uwezo wa kucheza nafasi nyingi