read
news & Articles
Matola: Simba ya msimu ijayo tishio
Kocha Msaidizi Seleman Matola, ameupongeza uongozi pamoja na Kamati ya Usajili kwa kufanya usajili ambao umeziba mapungufu yote yaliyokuwepo msimu uliopita. Matola amesema kwa sasa
Tunashuka tena dimbani kesho
Kikosi chetu kinatarajia kucheza mchezo wa tatu wa kirafiki dhidi ya timu ya Haras El Hodood iliyopanda daraja ya kushiriki Ligi Kuu ya Misri msimu
Timu yafanya mazoezi ya gym chini ya Sbai
Kikosi chetu kimefanya mazoezi asubuhi ya gym chini ya Kocha wa Viungo, Sbai Karim na kisha jioni kama kawaida kitafanya uwanjani. Kocha Sbai amejiunga na
Tumepata ushindi wa kishindo
Kikosi chetu leo kimefanikiwa kupata ushindi mnono wa mabao 6-0 katika mchezo wa kirafiki dhidi ya Abo Hamad inayoshiriki ligi daraja la pili nchini Misri.
Sakho arejea Misri apokelewa na Balozi
Kiungo mshambuliaji Pape Sakho amerejea nchini Misri akitokea Rabat, Morocco kwenye hafla ya tuzo zilizotolewa juzi na Shirikisho la soka barani Afrika (CAF). Sakho amepokelewa
Tutacheza mechi ya pili ya kirafiki leo
Kikosi chetu leo kinatarajia kucheza mchezo wa pili wa kirafiki dhidi ya Timu ya Abo Hamad inayoshiriki ligi daraja la pili nchini Misri. Mchezo huo