read
news & Articles

Jumanne tunakuja na ‘Nguvu Moja kwa Mkapa Hatoki Mtu’
Kama ilivyo kawaida kila tunapoelekea katika michezo ya Ligi ya Mabingwa Afrika hasa katika Uwanja wa Benjamin Mkapa tunakuwa na slogan mbalimbali ili kuongeza hamasa

Timu Kuingia Kambini Leo kujiandaa na Vipers
Baada ya mazoezi ya leo jioni kikosi chetu kitaingia kambini moja kwa moja kujiandaa na mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Vipers utakaopigwa

Tumetinga Robo Fainali ASFC
Kikosi chetu kimefanikiwa kutinga hatua ya robo fainali ya michuano ya Azam Sports Federation Cup (ASFC) baada ya kuifunga African Sports katika mchezo uliopigwa Uwanja

Kikosi kitakachotuwakilisha dhidi ya African Sports Leo
Leo saa 10 jioni kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa Uhuru kuikabili African Sports kutoka Tanga katika mchezo wa hatua ya 16 bora ya Azam

Inonga Mchezaji bora wa mashabiki Februari
Mlinzi wa kati, Henock Inonga amechaguliwa mchezaji bora wa mashabiki wa mwezi Februari (Emirate Aluminium Profile Simba Fans Player of the Month). Inonga amewashinda mlinzi

Tabiri Kikosi kitakachocheza dhidi ya African Sports Leo
Kikosi chetu leo kitashuka katika Uwanja wa Uhuru saa 10 jioni kuikabili African Sports katika mchezo wa hatua ya 16 bora ya Azam Sports Federation