read
news & Articles
TAARIFA KWA UMMA
Uongozi wa klabu ya Simba umefikia makubaliano ya kuvunja mkataba na wachezaji wetu watatu wakimataifa, Medie Kagere, Chris Mugalu na Taddeo Lwanga. Baada ya mazungumzo
Emirate, Simba zatoa msaada Kituo cha Watoto Yatima Magomeni
Wadhamini wetu Emirate Aluminium ACP imetembelea na kutoa misaada mbalimbali kwa kituo cha kulelea Watoto Yatima cha Umra kilichopo Magomeni Mikumi jijini Dar es Salaam.
Okwa ni Mnyama
Klabu yetu imefikia makubaliano ya kumsajili kiungo mshambuliaji Nelson Okwa (28) kutoka Rivers United ya Nigeria kwa mkataba wa miaka miwili. Okwa ambaye anatumia mguu
CRDB yaidhamini Simba Day
Benki ya CRDB imeingia ushirika na klabu yetu kudhamini Tamasha letu la Simba Day litakalofanyika Agosti 8, mwaka huu ambapo wameweka Sh milioni 25. Fedha
Ahmed awaongoza Wanasimba kuchangia damu
Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Klabu, Ahmed Ally amewaongoza wanachama, wapenzi na mashabiki wetu kuchangia damu ikiwa ni sehemu ya shughuli ya kijamii kuelekea
Tumewashika mkono Kituo cha Wazee Kigamboni
Klabu yetu kwa kushirikiana na Mo Dewji Foundation leo tumetoa misaada mbalimbali katika kituo cha kulelea wazee cha Nunge kilichopo Kigamboni ikiwa ni sehemu ya