Kikosi chetu leo kitashuka katika Uwanja wa Uhuru saa 10 jioni kuikabili African Sports katika mchezo wa hatua ya 16 bora ya Azam Sports Federation Cup (ASFC).
Tabiri hapa Kikosi cha kwanza ambacho unaamini kocha Robertinho atakipanga…..
Kikosi chetu leo kitashuka katika Uwanja wa Uhuru saa 10 jioni kuikabili African Sports katika mchezo wa hatua ya 16 bora ya Azam Sports Federation Cup (ASFC).
Tabiri hapa Kikosi cha kwanza ambacho unaamini kocha Robertinho atakipanga…..