read
news & Articles
Hivi hapa viingilio vya mchezo dhidi ya Big Bullets Jumapili
Uongozi wa klabu umeweka hadharani viingilio vya mchezo wetu wa marudiano wa hatua ya awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Nyasa Big Bullets
Timu yafanya mazoezi ya asubuhi Malawi, kurejea Dar leo
Kikosi chetu kimefanya mazoezi ya utimamu wa mwili leo asubuhi katika Uwanja wa ABC Academy baada ya mchezo wa jana wa hatua ya awali ya
Mgunda amtaja Matola ushindi dhidi ya Big Bullets
Kocha mkuu wa muda Juma Mgunda, amesema amekikuta kikosi kikiwa kwenye hali nzuri chini ya Kocha Msaidizi Seleman Matola na ndiyo siri ya ushindi wa
Bocco, Phiri wang’ara Malawi
Mabao mawili yaliyofungwa na washambuliaji Moses Phiri na John Bocco yametuwezesha kuibuka na ushindi wa 2-0 dhidi ya Nyasa Big Bullets katika mchezo wa hatua
Kikosi kitakachotuwakilisha dhidi ya Big Bullets leo
Mshambualiaji Moses Phiri ataongoza mashambulizi katika mchezo wetu ya hatua ya awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Nyasa Big Bullets utakaopigwa saa 10
Karata ya kwanza Ligi ya Mabingwa leo
Kikosi chetu leo saa 10 jioni kitashuka katika Uwanja wa Taifa wa Bingu wa Mutharika hapa Malawi kuikabili Nyasa Big Bullets katika mchezo wa mkondo