read
news & Articles
Inonga, Chama waitwa timu zao za taifa
Nyota wetu wawili wa kimataifa mlinzi Henock Inonga na kiungo mshambuliaji Clatous Chama, wameitwa kwenye timu zao za taifa kujiandaa na mechi mbili za kalenda
Mkude atunyanyua jiooni Sokoine
Bao la dakika za majeruhi lililofungwa na kiungo Jonas Mkude limetuwezesha kuondoka na poiti zote tatu katika Uwanja wa Sokoine baada ya kuifunga Tanzania Prisons.
Kikosi kitakachotuwakilisha dhidi ya Prisons leo
Baada ya kukosekana katika mechi sita zilizopita zikiwamo tatu za mashindano na nyingine za kirafiki kutokana na majeruhi kiungo mkabaji Jonas Mkude leo ataanza katika
Makala awapa siku 60 wavamizi Mo Simba Arena
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makala ameagiza watu waliovamia eneo letu la Uwanja wa Mo Simba Arena kuondoka ndani ya miezi miwili
Tupo Sokoine Leo kuikabili Prisons
Kikosi chetu leo saa 10 jioni kitashuka katika Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya kuikabili Tanzania Prisons katika mchezo wetu wa nne wa Ligi Kuu ya
Alichosema Kocha Mgunda kuelekea mchezo wa kesho
Kocha wa muda Juma Mgunda, amesema kikosi kipo tayari kwa ajili ya mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Tanzania Prisons utakaopigwa