read
news & Articles
Tuko kamili kwa ajili ya mtani leo
Kikosi chetu leo kitashuka katika Uwanja wa Benjamin Mkapa kuwakabili watani wetu wa jadi Yanga katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC ambao utaanza saa
Timu yafanya mazoezi ya mwisho Mo Arena
Kikosi chetu kimefanya mazoezi ya mwisho katika Uwanja wa Mo Simba Arena kujiandaa na mchezo wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya watani wetu Yanga
Mgunda: Tuko tayari kwa Derby
Kocha Mkuu Juma Mgunda, amesema maandalizi ya mchezo wa Derby dhidi ya Yanga yamekamilika na wachezaji wote wapo kwenye hali nzuri. Mgunda amesema utakuwa mchezo
Queens yaichapa Yanga Princess Tamasha la Wanawake
Timu yetu ya Wanawake ya Simba Queens imefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Yanga Princess katika mchezo wa kuhitimisha Tamasha la Kimataifa
Mgunda: Derby itakuwa ngumu
Kocha Mkuu Juma Mgunda, ameweka wazi kuwa mchezo wa Derby dhidi ya watani Yanga Jumapili hautabiriki utakuwa mgumu. Mgunda amesema mchezo wa watani siku zote
Timu yaendelea na mazoezi Mo Arena
Kikosi chetu kimeendelea na mazoezi katika Uwanja wa Mo Simba Arena kujiandaa na mchezo wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya watani wetu Yanga utakaopigwa