read
news & Articles
Tunashuka Liti leo kuikabili Singida Big Stars
Kikosi chetu leo saa 10 jioni kitashuka katika Uwanja wa Liti mkoani Singida kuikabili Singida Big Stars katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC. Tunaingia
Lukula: Wachezaji wanapokea mafunzo vizuri
Kocha Mkuu Charles Lukula, amesema katika siku tatu tulizopata kujiandaa na mchezo wetu wa kesho wa Nusu Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya
Kauli ya Mgunda kuelekea mchezo wa kesho dhidi ya Singida
Kocha Mkuu Juma Mgunda, amesema maandalizi ya mchezo wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Singida Big Stars utakaopigiwa kesho saa 10 jioni katika Uwanja
Timu kuondoka jioni kuifuata Singida Big Stars
Kikosi chetu kitaondoka leo saa 10 jioni kuelekea Dodoma kwa ndege kabla ya kuunganisha kwa basi hadi mkoani Singida kwa ajili ya mchezo wa Ligi
Queens yarejea Rabat baada ya kutinga nusu fainali
Kikosi chetu kimeanza safari ya kurejea katika mji wa Rabat kutoka Marrakech baada ya kufanikiwa kutinga hatua ya Nusu Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika.
Mo aipigia ‘saluti’ Queens
Rais wa Heshima wa Klabu, Mohamed Dewji ‘Mo’ ameipongeza Simba Queens kwa kufanikiwa kutinga Nusu Fainali ya Michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika upande wa