Ntibazonkiza Mfungaji bora NBCPL

Kiungo mshambuliaji, Saido Ntibazonkiza ameshinda tuzo ya mfungaji bora wa Ligi ya NBC msimu 2022/23 baada ya kufunga mabao 17.

Ntibazonkiza amefunga mabao sawa na mshambuliaji wa Yanga, Fiston Mayele ambaye nae amekabidhiwa kiatu cha dhahabu.

Katika msimu wa 2022/23 Ntibazonkiza amefunga mabao hayo 17 pamoja na kusaidia kupatikana kwa mengine 12.

Ntibazonkiza amefunga mabao hayo akiwa na timu mbili za Simba na Geita ambapo akiwa kwetu ametupia 11.

SHARE :
Facebook
Twitter

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

GET NEWSLETTER