read
news & Articles
Kikosi kitakachotuwakilisha dhidi ya Namungo leo
Mshambuaji Moses Phiri amepangwa kuongoza safu ya ushambuliaji katika mchezo wetu wa leo wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Namungo utakaopigwa Uwanja wa Benjamin
Tupo kwa Mkapa kuikabili Namungo leo
Kikosi chetu leo kitashuka katika Uwanja wa Benjamin Mkapa saa moja usiku kuikabili Namungo FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC. Tupo kwa Mkapa
Kauli ya Kocha Mgunda kuelekea mchezo wa kesho dhidi ya Namungo
Kocha Mkuu Juma Mgunda, amesema maandalizi ya mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Namungo FC yamekamilika na lengo letu ni kuhakikisha
Mzamiru: Tuzo za Emirate zimeongeza kitu kikubwa kwa wachezaji
Mshindi wa mwezi Oktoba wa tuzo ya mashabiki (Emirate Aluminium Profile Simba Fans Player of the Month) Mzamiru Yassin amesema kila mchezaji anapambana kuipata na
Queens kuanza safari ya kurejea nyumbani
Baada ya kuwepo nchini Morocco takribani wiki tatu kushiriki Michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika kikosi chetu leo kimeanza safari ya kurejea nyumbani. Saa nne
Mgunda: Nawapongeza wachezaji wangu
Kocha Mkuu Juma Mgunda, amewapongeza wachezaji kwa kazi kubwa waliyofanya na kufanikisha kupata ushindi wa bao moja dhidi ya Ihefu katika mchezo wa Ligi Kuu