read
news & Articles

Kapombe asaini mkataba mpya
Mlinzi wa kulia, Shomari Kapombe amesaini mkataba mpya wa miaka miwili kuendelea kusalia ndani ya kikosi chetu hadi mwaka 2025. Tangu alivyorejea kwa mara ya

Che Malone ni Mnyama
Uongozi wa klabu umefikia makubaliano ya kumsajili mlinzi wa kati, Che Fondoh Malone (24) raia wa Cameroon kutoka Cotton Sports FC kwa mkataba wa miaka

JOASH AJIUNGA NA SINGIDA KWA MKOPO
Uongozi wa Klabu ya Simba umefikia makubaliano ya kumtoa kwa mkopo mlinzi wa kati Joash Onyango kwenda Klabu ya Singida Fountain Gate FC hadi mwisho

Mchezo wetu wa Ngao ya Jamii kupigwa Agosti 10 Mkwakwani
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limeweka hadharani ratiba ya mchezo wetu wa Ngao ya Jamii dhidi ya Singida Fountain Gate FC kuwa utapigwa Agosti 10

Mikael Igendia Meneja mpya wa timu
Uongozi wa klabu umefikia makubaliano ya kumuajiri Mikael Igendia raia wa Kenya kuwa Meneja wa timu na Mkuu wa Sayansi ya Michezo kwa mkataba wa

Hategekimana Kocha mpya wa Viungo
Uongozi wa klabu umefikia makubaliano ya kumuajiri, Corneille Hategekimana raia wa Rwanda kuwa kocha mpya wa viungo kwa mkataba wa miaka miwili. Hategekimana (47) amejiunga