read
news & Articles
Chama arejea, kucheza dhidi ya Ruvu Shooting leo
Kiungo mshambuliaji Clatous Chama amerejea kikosini katika mchezo wa leo wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Ruvu Shooting baada ya kukosekana kwenye mechi tatu
Tupo kwa Mkapa tena kuikabili Ruvu Shooting Leo
Kikosi chetu leo kitashuka katika Uwanja wa Benjamin Mkapa saa moja usiku kuikabili Ruvu Shooting kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya NBC. Tunaingia katika mchezo
Bodi yakutana kujadili mipango ya klabu
Bodi ya Wakurugenzi chini ya Mwenyekiti Salim Abdallah ‘Try Again’ leo imekutana jijini Dar es Salaam na kujadili masuala mbalimbali ya maendeleo ya klabu. Miongoni
Mgunda: Tunaiheshimu Ruvu Shooting
Kocha Mkuu Juma Mgunda amesema kesho tunakwenda kukutana na timu ngumu ya Ruvu Shooting kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya NBC utakaopigwa Uwanja wa Benjamin
Kelvin Ndlomo kocha mpya wa viungo
Uongozi wa klabu umefikia makubaliano ya kumuajiri Kelvin Mandla Ndlomo (30) kuwa kocha mpya wa viungo kwa mkataba wa mwaka mmoja. Ndlomo raia wa Afrika
Tumefanikiwa kupata pointi tatu kwa Namungo
Kikosi chetu kimefanikiwa kupata alama tatu muhimu baada ya kuibuka na ushindi wa bao moja dhidi ya Namungo katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC