read
news & Articles
Timu yafanya mazoezi ya mwisho Mkwakwani
Kikosi chetu kimefanya mazoezi ya mwisho katika Uwanja wa Mkwakwani tayari kwa mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Coastal Union utakaopigwa
Alichosema Kocha Mgunda kuelekea mchezo dhidi ya Coastal
Kocha Mkuu Juma Mgunda, amesema maandalizi ya mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Coastal Union utakaopigwa Uwanja wa Mkwakwani yamekamilika. Mgunda
Habari Picha: Timu ilivyowasili Tanga
Kikosi chetu kimewasili salama jijini Tanga tayari kwa mchezo wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Coastal Union utakaopigwa Jumamosi saa 10 jioni Uwanja wa
Kanoute Mchezaji bora wa Mashabiki Novemba
Kiungo mkabaji Sadio Kanoute amechaguliwa Mchezaji Bora wa Mashabiki wa Mwezi Novemba (Emirate Aluminium Profile Simba Fans Player of the Month Month). Kanoute ambaye amekuwa
Timu yafanya mazoezi Dar, kuifuata Coastal Tanga leo
Kikosi chetu kimefanya mazoezi asubuhi katika Uwanja wa Mo Simba Arena kujiandaa na mchezo ujao wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Coastal Union utakaopigwa
Tumepangwa na Eagle FC hatua ya pili ASFC
Droo ya hatua ya pili ya michuano ya Azam Sports Federation Cup (ASFC) imekamilika na tumepangwa na Eagle FC kutoka Dar es Salaam. Kwa mujibu