read
news & Articles
Tumekamilisha Mzunguko wa kwanza wa Ligi 2022/23
Mchezo wetu dhidi ya Coastal Union uliopigwa Desemba 2, katika Uwanja wa CCM Mkwakwani jijini Tanga tulioibuka na ushindi wa mabao 3-0 ulikuwa wa 15
Timu yarejea kutoka Tanga, wachezaji wapewa mapumziko
Kikosi chetu kimerejea mchana kutoka jijini Tanga baada ya ushindi wa jana wa mabao 3-0 dhidi ya Coastal Union uliofanyika Uwanja wa CCM Mkwakwani. Baada
Mgunda: Tuliwazidi uzoefu Coastal
Kocha Mkuu Juma Mgunda, amesema Coastal ni timu nzuri na inacheza pamoja lakini tuliwazidi uzoefu na ndiyo sababu ya kufanikiwa kupata ushindi mnono wa mabao
Phiri atupia mawili tukiifunga Coastal Mkwakwani
Mshambuaji kinara Moses Phiri amefunga mabao mawili katika ushindi wa 3-0 tuliyowafunga Coastal Union katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC uliopigwa Uwanja wa CCM
Kikosi kitakachotuwakilisha dhidi ya Coastal leo
Nahodha John Bocco na kinara Moses Phiri wamepangwa kuongoza mashambulizi katika mchezo wa leo wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Coastal UnionĀ utakaopigwa Uwanja
Tuko Mkwakwani kuikabili Coastal
Kikosi chetu leo saa 10 jioni kitashuka katika Uwanja wa CCM Mkwakwani jijini Tanga kuikabili Coastal Union katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC. Maandalizi