read
news & Articles
Timu yaanza safari ya kurudi nyumbani
Kikosi chetu kimeanza safari ya kurejea nyumbani baada ya sare ya bila kufungana tuliopata juzi dhidi ya ASEC Mimosas katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa
Benchikha awapongeza wachezaji sare dhidi ya ASEC
Kocha Mkuu Abdelhak Benchikha amewapongeza wachezaji kwa kucheza soka safi licha ya kupata sare ugenini dhidi ya ASEC Mimosas katika mchezo wa marudiano wa Ligi
Tumepata pointi moja Ivory Coast
Mchezo wetu wa hatua ya makundi ya Ligi Kuu ya Mabingwa Afrika dhidi ya ASEC Mimosas uliopigwa Uwanja wa Felix – Houphouet – Boigny umemalizika
Manula arejea langoni Kimataifa baada ya muda mrefu
Mlinda mlango Aishi Manula ameanza kwenye kikosi chetu kitakachoshuka dimbani kuikabili ASEC Mimosas usiku huu. Mara ya mwisho Manula kucheza mechi ya kimataifa ilikuwa mchezo
Mambo matano muhimu kuelekea mchezo wetu dhidi ya ASEC Mimosas
Leo saa nne usiku kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa Felix – Houphouet – Boigny kuikabili ASEC Mimosas katika mchezo wa marudiano wa Ligi ya
Tunacheza mchezo muhimu Felix – Houphouet Leo
Kikosi chetu leo saa nne usiku kitashuka katika Uwanja wa Felix – Houphouet kuikabili ASEC Mimosas katika mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika.