VIDEO: Mazoezi ya mwisho kabla ya kuivaa Azam Kesho

Kikosi chetu kimefanya mazoezi ya mwisho leo jioni kujiandaa na mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Azam FC utakaopigwa Uwanja wa CCM Kirumba saa 10 jioni.

Wachezaji wote wameshiriki mazoezi hayo, tazama video hii hadi mwisho kuona jinsi ilivyokuwa.

 

SHARE :
Facebook
Twitter

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

GET NEWSLETTER