read
news & Articles
Tumefanikiwa kupata pointi tatu muhimu ugenini
Kikosi chetu kimefanikiwa kuibuka na ushindi wa bao moja ugenini dhidi ya Vipers katika mchezo wa hatua ya Makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika uliofanyika
Kikosi kitakachotuwakilisha dhidi ya Vipers Leo
Leo saa moja usiku kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa St. Mary’s uliopo Entebe, Uganda kuikabili Vipers katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika hatua
Viongozi wakutana na wachezaji kabla ya kuivaa Vipers
Saa chache kabla ya kushuka katika uwanja wa St. Mary’s kuikabili Vipers katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika Viongozi wa klabu wamekutana na wachezaji
Preview: Mchezo wetu dhidi ya Vipers
Leo saa moja usiku kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa St. Mary’s jijini Entebe, Uganda kuikabili Vipers katika mchezo wa tatu wa Ligi ya Mabingwa
Balozi wa Tanzania nchini Uganda awatia moyo wachezaji
Balozi wa Tanzania nchini Uganda, Mh. Dk. Aziz Ponary Mlima amewatia moyo wachezaji wetu kuwa tunaweza kupata pointi tatu katika mchezo wa kesho wa Ligi
Robertinho: Tumewasisitiza wachezaji kwenye umakini
Kocha Mkuu Roberto Oliviera ‘Robertinho’ amesema benchi la ufundi limewasisitiza wachezaji kuhusu umakini katika muda wote dakika 90 kwenye mchezo wa kesho wa Ligi ya