read
news & Articles
Ntibazonkiza atupia matano tukiichakaza Polisi Chamazi
Kiungo mshambuliaji Saido Ntibazonkiza amefunga mabao matano katika ushindi wa 6-1 tuliopata dhidi ya Polisi Tanzania katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC uliopigwa katika
Kikosi kitakachotuwakilisha dhidi ya Polisi Leo
Leo saa 12 jioni kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa Azam Complex kuikabili Polisi Tanzania katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC. Mlinda mlango, Ally
Matola apata mualiko Ghana
Kocha Mkuu wa timu za vijana, Selemani Matola amepata mualiko wa kwenda Accra Ghana kushuhudia mashindano ya vijana chini ya umri wa 23 yatayofanyika nchini
Preview: Mchezo wetu dhidi ya Polisi Tanzania
Leo saa 12 jioni kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa Azam Complex kuikabili Polisi Tanzania katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC. Licha ya kwamba
Habari Picha: Mazoezi ya mwisho kabla ya kuivaa Polisi Kesho
Kikosi chetu kimefanya mazoezi ya mwisho Gym kujiandaa na mchezo wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Polisi Tanzania utakaopigiwa Uwanja wa Azam Complex kesho
Mgunda: Mchezo dhidi ya Polisi tumeupa umuhimu mkubwa
Kocha msaidizi, Juma Mgunda amesema mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Polisi Tanzania tumeupa umuhimu sawa na mingine iliyopita na tumejipanga