read
news & Articles

Tumeshusha Straika kutoka Ivory Coast
Tumepata saini ya mshambuliaji Freddy Michael Kouablan raia wa Ivory Coast mwenye miaka 26 kutoka klabu ya Green Eagles ya Zambia. Kouablan amesaini mkataba wa

Pa Omar Jobe ni Mnyama
Tumefanikiwa kupata saini ya miaka miwili ya mshambuliaji Pa Omar Jobe raia wa Gambia kutoka klabu ya FC Zhenis inayoshiriki Ligi Kuu nchini Kazakhstan. Nchini

VIDEO: Ahmed asema Michuano ya Mapinduzi imetusaidia
Licha ya kushindwa kutwaa ubingwa Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu Ahmed Ally amesema michuano ya Kombe la Mapinduzi imetusaidia sehemu kubwa. Ahmed amesema kocha

Fabrice Ngoma Mchezaji bora Kombe la Mapinduzi
Kiungo mkabaji Fabrice Ngoma amechaguliwa mchezaji bora wa michuano ya Kombe la Mapinduzi mwaka 2024. Ngoma ameonyesha kiwango bora katika mechi zote sita za Kombe

Tumepoteza Mchezo wa Fainali
Mchezo wetu wa fainali ya Kombe la Mapinduzi umemalizika na tumepoteza kwa kufungwa bao moja na Mlandege FC katika mtanange uliopigwa Uwanja wa New Amaan

Kikosi kitakachotuwakilisha dhidi ya Mlandege
Kikosi chetu leo saa 2:15 usiku kitashuka katika Uwanja wa New Amaan Complex kuikabili Mlandege katika mchezo wa fainali ya Kombe la Mapinduzi. Kocha Mkuu,
