read
news & Articles

Kikosi chawasili salama Tabora
Kikosi kimewasili salama mkoani Tabora kutoka Kigoma tayari kwa mchezo wa Jumanne wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Tabora United utakaopigwa Uwanja wa Ali

Tumeondoka na alama tatu Kigoma
Mchezo wetu wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Mashujaa FC uliopigwa katika Uwanja wa Lake Tanganyika mkoani Kigoma umemalizika kwa kufanikiwa kupata ushindi wa

Kikosi kitakachotuwakilisha dhidi ya Mashujaa Leo
Leo saa 10 jioni kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa Lake Tanganyika mkoani Kigoma kuikabili Mashujaa FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC. Nyota

Inonga aisaidia DR Congo kutinga nusu fainali AFCON
Mlinzi wetu wa kati Henock Inonga amekuwa muhimili mkubwa katika kuisaidia timu yake ya DR Congo kutinga nusu fainali ya michuano ya AFCON inayoendelea nchini

Tunarejea NBC kwa kuanza na Mashujaa Leo
Baada ya mapumziko ya takribani mwezi mmoja wa kusimama Ligi Kuu ya NBC kupisha michuano ya Mapinduzi na AFCON kikosi chetu leo kinarejea kuikabili Mashujaa

Timu yafanya mazoezi ya mwisho Lake Tanganyika
Kikosi chetu kimefanya mazoezi ya mwisho katika Uwanja wa Lake Tanganyika mkoani Kigoma kujiandaa na mchezo Ligi Kuu ya NBC utakaopigwa kesho saa 10 jioni.
