read
news & Articles
Daniel Cadena Kocha wetu mpya wa makipa
Uongozi wa klabu umefikia makubaliano ya kumuajiri Daniel Cadena kuwa kocha wa makipa wa kikosi chetu kwa mkataba wa miaka miwili. Cadena (45) raia wa
Rasmi Onana ni Mnyama
Uongozi wa klabu umefikia makubaliano ya kumsajili kiungo mshambuliaji Willy Essomba Onana (23) raia wa Cameroon kwa mkataba wa miaka miwili. Onana amesajiliwa kutoka Rayon
VIDEO: Tazama jinsi Kitengo chetu cha Habari kilivyotayari kwa Usajili wa 2023/24
Dirisha la Usajili limefunguliwa Jumamosi iliyopita nasi tunaendelea kufanya maboresho kikosi chetu ambacho tunategemea kukitumia katika msimu wa Ligi 2023/24. Tayari Kitengo cha Habari na
Timu kwenda Uturuki kwa kambi ya wiki tatu
Kikosi chetu kinatarajia kutaondoka nchini muda wowote kutoka sasa kuelekea Uturuki kwa ajili ya kambi ya wiki tatu kujiandaa na msimu mpya wa Ligi 2023/24.
Wachezaji waanza kufanyiwa vipimo Muhimbili
Kundi la kwanza la wachezaji 12 limefanyiwa vipimo katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) kwa ajili ya kuangalia afya zao (check up) kabla ya kuanza
Tumetolewa michuano ya U20
Kikosi chetu cha vijana chini ya umri wa miaka 20 kimetolewa kwenye michuano ya vijana baada kukubali kipigo cha mabao 2-0 kutoka kwa Azam katika