read
news & Articles
Try Again ashiriki Kozi ya FIFA, akutana na Infantino
Mwenyekiti wa Bodi, Salim Muhene ‘Try Again’ amehudhuria kozi ya Diploma katika Uongozi wa Klabu (Diploma in Club Management) inayotolewa na Shirikisho la Soka Duniani
Lakred aanza mazoezi rasmi
Mlinda mlango mpya, Ayoub Lakred (28) raia wa Morocco amejiunga na kikosi na leo ameanza rasmi mazoezi pamoja na wenzake. Lakred tumemsajili wiki iliyopita kutoka
Tunaanza safari yetu ya NBCPL 2023/24
Alhamisi ya Agosti 17 saa 10 jioni katika Uwanja wa Manungu Complex mkoani Morogoro kikosi chetu kitatupa karata ya kwanza ya Ligi Kuu ya NBC
Robertinho afurahia taji lake la kwanza
Kocha Mkuu, Roberto Oliviera ‘Robertinho’ ameelezea furaha yake ya kuchukua taji la kwanza tangu aanze kukinoa kikosi chetu. Robertinho amesema ameshinda mataji mbalimbali katika timu
Ally Salim Aibuka Shujaa Mkwakwani
Mlinda mlango, Ally Salim ameibuka Shujaa wakati tukinyakua Ngao ya Jamii kwa mikwaju ya 3-1 dhidi ya watani wa jadi Yanga baada ya kuokoa tatu
Kikosi Kilichopangwa kucheza dhidi ya Yanga
Saa moja usiku kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa CCM Mkwakwani jijini Tanga kuikabili Yanga kwenye mchezo wa fainali ya Ngao ya Jamii. Hiki hapa