
VIDEO: Tazama jinsi kikosi kilivyowasili Ruangwa
Kikosi chetu kimewasili salama Ruangwa mkoani Lindi kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Namungo utakaopigwa Uwanja wa Majaliwa, Jumatano
Kikosi chetu kimewasili salama Ruangwa mkoani Lindi kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Namungo utakaopigwa Uwanja wa Majaliwa, Jumatano
Kikosi cha wachezaji 22 kitaondoka kesho saa 12 asubuhi kuelekea Lindi tayari kwa mchezo wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Namungo FC utakaopigwa
Baada ya mchezo dhidi ya Dodoma Jiji kuahirishwa wachezaji walipewa mapumziko mafupi na kesho kikosi kitarejea mazoezini kujiandaa na mchezo unaofuata. Mchezo dhidi ya
Bodi ya Ligi Kuu Tanzania TPLB imeahirisha mchezo wetu dhidi ya Dodoma Jiji ambao ulipangwa kuchezwa Jumamosi, Februari 15 katika Uwanja wa KMC Complex.
Ushindi wa mabao 3-0 tuliopata dhidi ya Tanzania Prisons katika mchezo uliopigwa Uwanja wa KMC Complex umetufanya kurejea kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu
Kikosi chetu leo saa 10 jioni kitashuka katika Uwanja wa KMC Complex kuikabili Tanzania Prisons katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC. Kocha Fadlu
Kocha Mkuu, Fadlu Davids amesema tutaingia na mipango ile ile katika mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Tanzania Prisons lengo
Droo ya hatua ya 32 imekamilika mchana huu na tayari tumemjua mpinzani tuliyepangwa nae ambaye ni TMA kutoka Arusha inayoshiriki Ligi Daraja la kwanza
Mchezo wetu wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Fountain Gate FC uliopigwa Uwanja wa Tanzanite Kwaraa umemalizika kwa sare ya kufungana bao moja.
Kikosi chetu leo saa 10:15 jioni kitashuka katika Uwanja wa Tanzanite Kwaraa kuikabili Fountain Gate FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC. Kocha