read
news & Articles

Kauli ya Kocha Matola kuelekea mchezo dhidi ya Namungo
Kocha Msaidizi, Seleman Matola amesema mchezo wetu wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Namungo utakaopigwa kesho saa 12 jioni katika Uwanja wa Majaliwa, Ruangwa

Timu yarejea Dar na kuunganisha Ruangwa
Kikosi chetu kimerejea jijini Dar es Salaam mchana huu kutoka Zanzibar na moja kwa moja kimeunganisha Ruangwa kwa ajili mchezo wa Ligi Kuu NBC dhidi

Ngoma, Lakred wang’ara Kombe la Muungano
Nyota wetu wawili kiungo mkabaji Fabrice Ngoma na mlinda mlango Ayoub Lakred wameng’ara katika michuano ya Kombe la Muungano iliyomalizika Visiwani Zanzibar. Ngoma ameibuka mchezaji

Tumechukua tena ubingwa wa Kombe la Muungano
Kikosi chetu kimefanikiwa kuibuka na ubingwa wa michuano ya Kombe la Muungano baada ya kuifunga Azam FC katika mchezo uliopigwa Uwanja wa New Amaan Complex

KIkosi kitakachotuwakilisha dhidi ya Azam
Kikosi chetu leo saa mbili usiku kitashuka katika Uwanja wa New Amaan Complex kuikabili Azam FC kwenye mchezo wa fainali ya Kombe la Muungano. Kocha

Tabiri kikosi kitakachopagwa dhidi ya Azam Leo
Kikosi chetu leo saa mbili usiku kitashuka katika Uwanja wa New Amaan Complex kuikabili Azam FC kwenye mchezo wa fainali ya Kombe la Muungano. Tabiri
