read

news & Articles

Goli la mama larejea AFL

Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni na Michezo, Gerson Msigwa amesema Rais wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan ataendelea kutoa pesa ‘goli la mama’ kwa

Zoezi la kuipamba Dar imeanza Magomeni

Zoezi la kubandika picha za hamasa kuelekea ufunguzi wa African Football League limeanza rasmi Magomeni Mikumi katika Tawi la Mpira Pesa. Zoezi hilo limeongozwa na

Tumepata ushindi dhidi ya Dar City

Kikosi chetu kimefanikiwa kupata ushindi wa mabao 5-1 dhidi ya Dar City katika mchezo wa kirafiki uliopigwa Uwanja wa Mo Simba Arena. Mchezo wa leo

Tumezindua jezi mpya za michuano ya AFL

Klabu yetu imezindua jezi maalum ambazo tutazitumia kwenye michuano ya African Football League (AFL) ambayo itaanza Oktoba 20 kwa kucheza na Al Ahly ya Misri.

CEO Kajula aishukuru Serikali

Mtendaji Mkuu wa Klabu, Imani Kajula ameishukuru Serikali kwa ukarabati mkubwa iliyofanya kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa ambao tutautumia kwenye mchezo wa ufunguzi wa michuano

subscribe

sign up for our newsletter:

Get news straight from Simba SC