read
news & Articles

Kikosi cha Queens kilichopangwa kuikabili Amani Queens
Timu yetu ya Simba Queens leo saa 10 jioni itashuka katika Uwanja wa Azam Complex Chamazi kuikabili Amani Queens katika muendelezo wa Ligi Kuu ya

Mgunda: Maandalizi dhidi ya Tabora yamekamilika
Kocha Mkuu Juma Mgunda amesema maandalizi ya mchezo wetu wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Tabora United utakaopigwa Uwanja wa Azam Complex

Mgunda: Tulicheza kwa kufuata maelekezo
Kocha Mkuu, Juma Mgunda amesema licha ya ushindi wa mabao 2-0 tuliopata dhidi ya Mtibwa Sugar mechi haikuwa rahisi lakini lakini wachezaji walicheza huku wakifuata

VIDEO: Ahmed afunguka baada ya ushindi wa Mtibwa
Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu, Ahmed Ally amesema ushindi wa mabao 2-0 tuliopata dhidi Mtibwa Sugar ulikuwa muhimu kwetu kwakuwa unaendelea kurudisha hali ya

Highlights: Simba 2-0 Mtibwa Sugar
Mchezo wetu wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Mtibwa Sugar uliopigwa Uwanja wa Azam Complex Chamazi umemalizika kwa kufanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao

Tumezipata pointi tatu za Mtibwa
Timu yetu imefanikiwa kuibuka na ushindi mabao 2-0 dhidi ya Mtibwa Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC uliopigwa Uwanja wa Azam Complex, Chamazi.
