read
news & Articles

Tumeondoka na Pointi zote mbele ya Azam kwa Mkapa
Kikosi chetu kimefanikiwa kuibuka na ushindi mnono wa mabao 3-0 dhidi ya Azam FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC uliopigwa Uwanja wa Benjamin

Queens yaendelea kutoa dozi TWPL
Timu yetu ya Simba Queens imeibuka na ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya Bunda Queens katika mchezo wa Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania (TWPL) uliopigwa

Kikosi kitakachotuwakilisha dhidi ya Azam
Kikosi chetu leo saa 12:15 jioni kitashuka katika Uwanja wa Benjamin Mkapa kuikabili Azam FC kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya NBC. Hiki hapa kikosi

Kikosi cha Queens kilichopangwa kuikabili Bunda Queens
Simba Queens leo saa 10 itashuka katika Uwanja wa Azam Complex Chamazi kuikabili Bunda Queens katika mchezo wa Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania (TWPL). Hiki

Leo tupo Benjamin Mkapa kuikabili Azam
Kikosi chetu leo kitashuka katika Uwanja wa Benjamin Mkapa kuikabili Azam FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC utakoanza saa 12:15 jioni. Ni mchezo

Queens ipo kamili kuivaa Bunda Queens
Kikosi chetu cha Simba Queens kipo tayari kwa ajili ya mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania (TWPL) dhidi ya Bunda Queens utakaopigwa
