read

news & Articles

Ahmed: Tumedhamiria kuwafunga Yanga Jumapili

Meneja Habari na Mawasiliano, Ahmed Ally amesema dhamira yetu nikuhakikisha tunapata ushindi katika mchezo wa Derby ya Kariakoo dhidi ya Yanga utakaopigwa Uwanja wa Benjamin

Robertinho: Haikuwa rahisi kuifunga Ihefu

Kocha Mkuu, Roberto Oliviera ‘Robertinho’ amefurahia ushindi wa mabao 2-1 tuliopata dhidi ya Ihefu kutokana na mchezo kuwa mgumu. Robertinho amesema ratiba imekuwa ngumu sababu

Tumechukua Pointi tatu za Ihefu

Timu yetu imefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Ihefu FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC uliopigwa Uwanja wa Benjamin Mkapa.

subscribe

sign up for our newsletter:

Get news straight from Simba SC