read
news & Articles

Kikosi kitakachotuwakilisha dhidi ya Al Hilal
Leo saa 10 jioni kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa KMC Complex kuikabili Al Hilal kutoka Sudan katika mchezo wa kirafiki wa Kimataifa. Kocha Fadlu

Timu yafanya mazoezi ya mwisho KMC Complex
Kikosi chetu kimefanya mazoezi ya mwisho kujiandaa na mchezo wa kirafiki wa Kimataifa dhidi ya Al Hilal ya Sudan ambao utapigwa kesho saa 10 Jioni

Tumepoteza mbele ya Kawempe
Mchezo wetu wa kutafuta mshindi wa tatu wa Ligi ya Mabingwa Ukanda wa Afrika Mashariki umemalizika kwa kupoteza kwa mabao 2-0 dhidi ya Kawempe Muslim

Kikosi cha Queens kilichopangwa kuikabili Kawempe Muslim
Leo saa tano asubuhi kikosi chetu cha Simba Queens kitashuka katika Uwanja wa Abebe Bikila kuikabili Kawempe Muslim kutoka Uganda katika mchezo wa kutafuta mshindi

Queens yafanya mazoezi ya mwisho Abebe Bikila
Simba Queens imefanya mazoezi ya mwisho katika Uwanja wa Abebe Bikila kwa ajili ya mchezo wa kesho wa kutafuta mshindi wa tatu dhidi ya Kawempe

VIDEO: Timu kuingia kambini kesho
Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu Ahmed Ally amesema kikosi chetu kesho kitaingia kambini kujiandaa na mchezo wa kirafiki dhidi ya Al Hilal kutoka Sudan
