read
news & Articles

VIDEO: Kikosi chafanya mazoezi ya Uwanjani
Baada ya Mazoezi ya Gym asubuhi jioni kikosi chetu kimefanya mazoezi ya uwanjani katika dimba la Abebe Bikila. Uwanja wa Abebe Bikila ndio tutautumia kucheza

Willy Onana amejiunga na Al Hilal Benghazi
Klabu yetu imemuuza kiungo mshambuliaji wake Andre Willy Esomba Onana kwenda klabu ya Al Hilal Benghazi ya Libya. Onana alijunga nasi msimu uliopita kwa mkataba

Simba Queens yapokelewa vizuri Ethiopia
Ubalozi wa Tanzania nchini Ethiopia umeipokea timu yetu ya Simba Queens ambayo imewasili kwa ajili ya kushiriki michuano ya Mabingwa Ukanda wa Afrika Mashariki na

Simba Queens yapaa kuelekea Ethiopia
Kikosi chetu cha Simba Queens kimeondoka nchini kuelekea Ethiopia kwa ajili ya kushiriki michuano ya Afrika Mashariki na Kati (CECAFA). Simba Queens imeondoka na kikosi

VIDEO: Mgunda aelezea maandalizi ya timu kuelekea michuano ya CECAFA
Kocha Mkuu wa Simba Queens, Juma Mgunda amesema maandalizi ya timu kuelekea michuano ya CECAFA yamekamilika na kikosi kipo tayari kwa ajili ya mashindano. Mgunda

VIDEO: Queens yautaka ubingwa wa CECAFA
Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu, Ahmed Ally amesema lengo la letu ni kushinda taji la michuano ya CECAFA ambayo itaanza kutimua vumbi mwishoni mwa
