read
news & Articles
Timu yaendelea na mazoezi Mo Arena
Kikosi chetu kimeendelea na mazoezi katika Uwanja wetu wa Mo Simba Arena kujiandaa na mchezo wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Yanga utakaopigwa Jumapili,
Karibu Simba, Pilsner Lager
Klabu yetu imeingia mkataba wa miaka mitatu na Kampuni ya Serengeti Breweries kupitia bia yake ya Pilsner Lager. Mtendaji Mkuu wa Klabu, Imani Kajula amesema
Balozi wa Uingereza atembelea ofisi za Klabu
Balozi wa Uingereza nchini, David Concar ametembelea ofisi zetu zilizopo Masaki Dar es Salaam kwa lengo la kufahamu mambo mbalimbali ya uendeshaji wa klabu. Concar
Timu kuingia Kambini Kesho kujiandaa dhidi ya Yanga
Kikosi chetu kitaingia kambini kesho kuanza maandalizi ya mchezo wa mchezo wa Derby ya Kariakoo dhidi ya Yanga utakaopigwa Jumapili katika Uwanja wa Benjamin Mkapa.
Hivi hapa viingilio vya mchezo wa Simba, Yanga
Meneja Habari na Mawasiliano wa klabu, Ahmed Ally ametangaza viingilio vya mchezo wa Derby ya Kariakoo dhidi ya watani wetu Yanga utakaopigwa Jumapili, Novemba 5
Ahmed: Tumedhamiria kuwafunga Yanga Jumapili
Meneja Habari na Mawasiliano, Ahmed Ally amesema dhamira yetu nikuhakikisha tunapata ushindi katika mchezo wa Derby ya Kariakoo dhidi ya Yanga utakaopigwa Uwanja wa Benjamin