read
news & Articles

Gomez, Chama wang’ara tuzo za VPL
Kocha Mkuu, Didier Gomez na kiungo wetu mshambuliaji Clatous Chama wameibuka kidedea kwenye tuzo za mwezi Aprili za Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara. Kocha

Simba yaendelea na mazoezi kumvutia kasi mtani
Kikosi chetu leo jioni kimeendelea na mazoezi katika Uwanja wa Mo Simba Arena kujiandaa na mchezo ujao wa Ligi Kuu dhidi ya watani wa jadi

Chama akabidhiwa tuzo yake ya mwezi Aprili
Kiungo mshambuliaji, Clatous Chama leo amekabidhiwa tuzo yake ya mchezaji bora wa mashabiki wa mwezi Aprili (Emirate Aluminium Simba Fans Player of the Month). Chama

Chama mchezaji bora mwezi Aprili
Kiungo mshambuliaji, Clatous Chama amechaguliwa mchezaji bora wa mashabiki wa mwezi wa Aprili (Emirate Aluminium Simba Fans Player of the Month). Chama raia wa Zambia

Kauli ya Kocha Gomez baada ya ushindi dhidi ya Kagera Sugar
Baada ya kufanikiwa kuingia robo fainali ya michuano ya Azam Sports Federation Cup kwa kuifunga Kagera Sugar mabao 2-1, Kocha Mkuu Didier Gomez amesema malengo

Simba yatinga robo fainali ASFC
Kikosi chetu kimeingia robo fainali ya michuano ya Azam Sports Federation Cup baada ya kuifunga Kagera Sugar mabao 2-1 katika mchezo uliopigwa katika Uwanja wa
