read
news & Articles

Simba, Yanga hakuna mbabe
Mchezo wa hatua ya Nane Bora wa Ligi Kuu ya Vijana Chini ya Umri wa Miaka 20 kati yetu na Yanga uliopigwa Uwanja wa Azam

Simba kuanza mazoezi leo
Baada ya mapumziko waliyopewa wachezaji, hatimaye leo jioni kikosi chetu kitafanya mazoezi katika viwanja vyetu vya Mo Simba Arena vilivyopo Bunju jijini Dar es Salaam.

Simba yarejea Dar, wachezaji wapewa mapumziko
Kikosi chetu kimewasili jijini Dar es Salaam salama mchana huu kutoka Mwanza na wachezaji wamepewa mapumziko huku wale walioitwa na timu zao za taifa wakiruhusiwa

Simba yalipa kisasi yawapigisha kwata Ruvu Shooting Kirumba
Hatimaye timu yetu leo imefanikiwa kulipa kisasi kwa Ruvu Shooting kwa kuwatandika mabao 3- katika mchezo wa ligi kuu uliopigwa katika Uwanja wa CCM Kirumba

Simba kuwaonyesha Ruvu Shooting kilichomnyoa Namungo, Dilunga kulianzisha
Kiungo mshambuliaji Hassan Dilunga, lea ataanza kwenye kikosi cha kwanza kilichopangwa kuikabili Ruvu Shooting katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom utakaopigwa Uwanja wa CCM

Bocco mchezaji bora mwezi Mei
Nahodha John Bocco ameibuka kidedea kwenye kinyang’anyiro cha Mchezaji Bora wa Mwezi wa Mashabiki (Emirate Aluminium Simba Fans Player of the Month) baada ya kupata