read
news & Articles

Simba yarejea Dar, yaingia kambini kuivutia kasi Mbeya City
Kikosi chetu kimerejea jijini Dar es Salaam kutoka jijini Mwanza leo na kuingia moja kwa moja kambini kujiandaa na mchezo ujao wa ligi dhidi ya

Simba haishikiki VPL
Kikosi chetu kimeendelea kukusanya alama tatu kwenye Ligi Kuu ya Vodacom baada ya kuifunga Polisi Tanzania bao moja bila katika mtanange uliopigwa katika Uwanja wa

Bocco, Mugalu kuongoza mashambulizi dhidi ya Polisi leo
Kocha Mkuu Didier Gomes leo amewapanga washambuliaji wawili Nahodha John Bocco na Chris Mugalu kuanza katika mchezo dhidi ya Polisi Tanzania utakaopigwa kwenye Uwanja wa

Simba vitani leo kuchukua pointi tatu nyingine za Polisi
Baada ya mapumziko ya wiki mbili kupisha mechi za kimataifa za Timu ya Taifa, kikosi chetu leo kinarejea katika Uwanja wa CCM Kirumba kuikabili Polisi

Alichokisema Kocha Matola kuelekea mechi na Polisi Tanzania
Kocha msaidizi Seleman Matola amesema wachezaji wote wako tayari kwa ajili ya mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara utakaopigwa kwenye Uwanja

Zimbwe Jr na matumaini kibao ya ubingwa wa Ligi Kuu 2020/21
Nahodha msaidizi Mohamed Hussein ‘Zimbwe Jr’ ana matumaini makubwa ya kuiona timu yetu ya Simba ikinyakua ubingwa wa Ligi Kuu Msimu huu wa 2020/21 kwa