read
news & Articles

Simba yaifuata Kaizer Chiefs na nyota 24
Kikosi chetu kimeondoka nchini leo Jumanne Mei 11 alfajiri, kuelekea nchini Afrika Kusini tayari kwa mchezo wa robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi

Gomez: Tulikuwa tayari kuwavaa Yanga
Kocha Mkuu Didier Gomez amesema kikosi chetu kilikuwa kwenye hali nzuri kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya watani wetu Yanga ambao umeahirishwa

Leo ndiyo leo kwa Mkapa, hatoki mtu
Leo ndiyo siku ambayo Tanzania na nchi jirani zitasimama kwa muda wa dakika 90 kufuatilia mchezo mkubwa wa Ligi Kuu ya Vodacom kati ya watani

Simba kuja kivingine dhidi ya Yanga
Kocha Msaidizi Seleman Matola ameweka wazi kuwa mchezo wa watani wa jadi kesho dhidi ya Yanga tutaingia kivingine na kutoruhusu makosa kama kwenye michezo iliyopita

Gomez aigawa tuzo yake benchi la ufundi
Muda mfupi baada ya kutangazwa Kocha Bora wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania, Kocha Mkuu Didier Gomez amesema tuzo hiyo ni kwa ajili ya benchi

Gomez, Chama wang’ara tuzo za VPL
Kocha Mkuu, Didier Gomez na kiungo wetu mshambuliaji Clatous Chama wameibuka kidedea kwenye tuzo za mwezi Aprili za Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara. Kocha
