read
news & Articles

Simba yarejea Dar, wachezaji wapewa mapumziko
Kikosi chetu kimewasili jijini Dar es Salaam salama mchana huu kutoka Mwanza na wachezaji wamepewa mapumziko huku wale walioitwa na timu zao za taifa wakiruhusiwa

Simba yalipa kisasi yawapigisha kwata Ruvu Shooting Kirumba
Hatimaye timu yetu leo imefanikiwa kulipa kisasi kwa Ruvu Shooting kwa kuwatandika mabao 3- katika mchezo wa ligi kuu uliopigwa katika Uwanja wa CCM Kirumba

Simba kuwaonyesha Ruvu Shooting kilichomnyoa Namungo, Dilunga kulianzisha
Kiungo mshambuliaji Hassan Dilunga, lea ataanza kwenye kikosi cha kwanza kilichopangwa kuikabili Ruvu Shooting katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom utakaopigwa Uwanja wa CCM

Bocco mchezaji bora mwezi Mei
Nahodha John Bocco ameibuka kidedea kwenye kinyang’anyiro cha Mchezaji Bora wa Mwezi wa Mashabiki (Emirate Aluminium Simba Fans Player of the Month) baada ya kupata

Ni mechi ya kisasi leo Kirumba
Leo jioni kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa CCM Kirumba hapa jijini Mwanza kikiwa na kisasi cha kulipiza kwa Ruvu Shooting katika mchezo wa Ligi

Kauli ya Matola kuelekea mchezo na Ruvu Shooting
Kocha Msaidizi Seleman Matola, amesema mechi ya kesho dhidi ya Ruvu Shooting itakuwa ngumu lakini tumejiandaa kushinda na kuondoka na alama zote tatu. Matola amesema
