read
news & Articles

Bocco, Mugalu kuongoza mashambulizi dhidi ya Polisi leo
Kocha Mkuu Didier Gomes leo amewapanga washambuliaji wawili Nahodha John Bocco na Chris Mugalu kuanza katika mchezo dhidi ya Polisi Tanzania utakaopigwa kwenye Uwanja wa

Simba vitani leo kuchukua pointi tatu nyingine za Polisi
Baada ya mapumziko ya wiki mbili kupisha mechi za kimataifa za Timu ya Taifa, kikosi chetu leo kinarejea katika Uwanja wa CCM Kirumba kuikabili Polisi

Alichokisema Kocha Matola kuelekea mechi na Polisi Tanzania
Kocha msaidizi Seleman Matola amesema wachezaji wote wako tayari kwa ajili ya mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara utakaopigwa kwenye Uwanja

Zimbwe Jr na matumaini kibao ya ubingwa wa Ligi Kuu 2020/21
Nahodha msaidizi Mohamed Hussein ‘Zimbwe Jr’ ana matumaini makubwa ya kuiona timu yetu ya Simba ikinyakua ubingwa wa Ligi Kuu Msimu huu wa 2020/21 kwa

Mazoezi ya mwisho kabla ya kuifuata Polisi Tanzania
Kikosi chetu leo kimefanya mazoezi ya mwisho katika viwanja vyetu vya Mo Simba Arena kujiandaa na mchezo wa ligi kuu dhidi ya Polisi Tanzania utakaopigwa

Bocco akabidhiwa tuzo yake ya mwezi Mei
Nahodha John Bocco leo amekabidhiwa tuzo yake ya Mchezaji Bora wa Mashabiki wa Mwezi Mei (Emirate Aluminium Simba Fans Player Of The Month) na Kampuni
