read
news & Articles

Ni Ama Zao Ama Zetu, Do Or Die Season 2
Kuelekea mchezo wetu wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Kaizer Chiefs utakaopigwa Jumamosi, Mei 22 katika Uwanja wa Benjamin Mkapa tumekuja na

Simba kuanza mawindo dhidi ya Kaizer Chiefs kesho
Baada ya kurejea salama jijini Dar es Salaam kutoka Afrika Kusini, kikosi kimepewa mapumziko ya siku moja ambapo kesho kitarejea mazoezini kujiandaa na mchezo wa

Simba yajifua kabla ya kurejea Dar
Kikosi chetu kimefanya mazoezi leo jioni katika Uwanja wa Discovery Soccer Park hapa jijini Johannesburg kujiweka miili sawa kabla ya kuanza safari ya kurejea nchini.

Simba Queens mabingwa tena Ligi ya Wanawake
Timu yetu ya Simba Queens imetawazwa Mabingwa wa Ligi Kuu ya Wanawake (Serengeti Lite Women’s Premier League) 2020/21 baada ya kuibuka na ushindi wa bao

Simba yapoteza Ugenini
Kikosi chetu kimepoteza kwa mabao 4-0 mchezo wa kwanza wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Kaizer Chiefs uliopigwa katika Uwanja wa

Mugalu kuongoza mashambulizi dhidi ya Kaizer Chiefs Leo
Mshambuliaji Chris Mugalu amepangwa kuongoza mashambulizi katika mchezo wetu wa leo wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Kaizer Chiefs utakaopigwa kwenye
