read
news & Articles

Gomes analitaka taji la FA, aizungumzia Azam
Kocha Mkuu Didier Gomes, ameweka wazi kuwa mchezo wetu wa kesho wa Nusu Fainali ya Michuano ya Azam Sports Federation Cup (ASFC) dhidi ya Azam

Mzamiru atoa neno kuelekea mchezo dhidi ya Azam FC
Kiungo Mzamiru Yassin amekiri kuwa mchezo wa nusu fainali ya michuano ya Azam Sports Federation Cup dhidi ya Azam FC utakuwa mgumu lakini tutashinda na

Simba yafanya mazoezi kuweka miili sawa
Kikosi chetu kimefanya mazoezi leo jioni katika Uwanja wa Shule ya Sekondari Beroya hapa Songea kwa ajili ya kuweka miili sawa baada ya safari ndefu.

Simba yatua salama Songea, yapata mapokezi ya kifalme
Kikosi chetu kimewasili salama mjini Songea na kupata mapokezi ya kifalme kutoka kwa idadi kubwa ya mashabiki waliojitokeza kutulaki na kutupa hamasa. Timu iko Songea

Gomes: Mechi dhidi ya Yanga itakuwa fainali
Kocha Mkuu, Didier Gomes amesesema mchezo ujao wa ligi dhidi ya watani wa jadi Yanga utakaofanyika Uwanja wa Benjamin Mkapa, Julai 3 utakuwa kama fainali

Simba yabakisha tatu kutwaa ubingwa VPL
Ushindi wa mabao 4-1 tuliopata dhidi ya Mbeya City leo umetufanya tubakishe alama tatu ili kuwa mabingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom Msimu wa 2020/21.
