read

news & Articles

Simba macho yote kwa KMC

Baada ya kupoteza mchezo uliopita sasa nguvu zote tumezielekeza katika mchezo wa kesho wa Ligi Kuu dhidi ya KMC utakaopigwa katika Uwanja wa Benjamin Mkapa

Simba kambini kuivutia Kasi KMC

Kikosi chetu kimeingia kambini kujiandaa na mchezo wa ligi kuu dhidi ya KMC utakaopigwa  Jumatano Julai 7, saa moja usiku katika Uwanja wa Benjamin Mkapa.

subscribe

sign up for our newsletter:

Get news straight from Simba SC