read
news & Articles

Simba yatimiza lengo, yatwaa ubingwa wa FA
Timu yetu imetawazwa mabingwa wa Michuano Azam Sports Federation Cup baada ya kuibuka na ushindi wa bao moja dhidi ya Yanga katika mchezo uliopigwa katika

Bocco, Mugalu kuongoza mashambulizi dhidi ya Yanga Leo
Nahodha John Bocco na Chris Mugalu wamepangwa kuongoza mashambulizi katika mchezo wa Fainali ya Azam Sports Federation Cup dhidi ya Yanga utakaopigwa saa 10 jioni

Simba kuja kivingine kesho, Gomes autaka ubingwa
Kuelekea mchezo wa Fainali ya Azam Sports Federation Cup dhidi ya Yanga utakaopigwa Uwanja wa Lake Tanganyika mkoani Kigoma, Kocha Mkuu, Didier Gomes ameweka wazi

Simba yafanya mazoezi ya kwanza Kigoma
Kikosi chetu leo jioni kimefanya mazoezi ya kwanza kwenye Uwanja wa Hali ya Hewa hapa mkoani Kigoma kujiandaa na mchezo wa fainali ya Azam Sports

Simba yapokelewa kifalme Kigoma
Mabingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara Timu ya Simba, imepata mapokezi makubwa baada ya kutua mkoani Kigoma tayari kwa Fainali ya Azam Sports

Simba yafanya mazoezi kuivutia kasi Yanga
Kikosi chetu kimefanya mazoezi leo jioni kujiandaa na mchezo wa fainali ya Michuano ya Azam Sports Federation Cup dhidi ya Yanga utakaofanyika Julai 25, katika
