read
news & Articles

Tabiri Kikosi kitakachopangwa dhidi ya Ken Gold
Kikosi chetu leo saa 10 jioni kitashuka katika Uwanja wa KMC Complex kuikabili Ken Gold katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC. Tabiri kikosi ambacho

Tupo tayari kuikabili Ken Gold Leo
Leo saa 10 jioni kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa KMC Complex kuikabili Ken Gold katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC. Ken Gold haina

Timu yafanya mazoezi ya mwisho Mo Arena
Kikosi chetu kimefanya mazoezi ya mwisho katika Uwanja wa Mo Simba Arena kwa ajili ya mchezo wetu Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Ken Gold

Kauli ya Kocha Fadlu kuelekea mchezo wa kesho dhidi ya Ken Gold
Kocha Mkuu Fadlu Davids amesema tunahitaji kucheza soka safi pamoja na kuhakikisha tunapata pointi tatu kwenye mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi

Mchezo dhidi ya Singida Black kupigwa Disemba 28
Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imefanya maboresho ya ratiba ya Ligi na kuzipangia ratiba mechi mbalimbali ambazo zilikuwa hazijapangiwa kutokana na sababu tofauti. Mchezo

Kibu afanya maajabu jioni kwa Mkapa
Bao la kichwa la dakika ya mwisho lililofungwa na Kibu Denis limetuwezesha kupata pointi tatu muhimu nyumbani dhidi ya CS Sfaxien baada ya ushindi wa
