read
news & Articles
Tunawatakia kheri wachezaji wetu kwenye michuano ya AFCON
Nyota wetu wote sita leo usiku watawakilisha mataifa yao katika mechi zao za kwanza za michuano ya AFCON inayofanyika nchini Ivory Coast. Wachezaji wetu wote
Aisha Mnuka atupia hat trick Queens ikichapa Amani Ilulu
Mabao matatu yaliyofungwa na mshambuliaji Aisha Mnuka yametupa ushindi wa 3-2 dhidi ya Amani Queens katika mchezo wa Ligi Kuu ya Wanawake uliopigwa Uwanja wa
Tumeshusha Straika kutoka Ivory Coast
Tumepata saini ya mshambuliaji Freddy Michael Kouablan raia wa Ivory Coast mwenye miaka 26 kutoka klabu ya Green Eagles ya Zambia. Kouablan amesaini mkataba wa
Pa Omar Jobe ni Mnyama
Tumefanikiwa kupata saini ya miaka miwili ya mshambuliaji Pa Omar Jobe raia wa Gambia kutoka klabu ya FC Zhenis inayoshiriki Ligi Kuu nchini Kazakhstan. Nchini
VIDEO: Ahmed asema Michuano ya Mapinduzi imetusaidia
Licha ya kushindwa kutwaa ubingwa Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu Ahmed Ally amesema michuano ya Kombe la Mapinduzi imetusaidia sehemu kubwa. Ahmed amesema kocha
Fabrice Ngoma Mchezaji bora Kombe la Mapinduzi
Kiungo mkabaji Fabrice Ngoma amechaguliwa mchezaji bora wa michuano ya Kombe la Mapinduzi mwaka 2024. Ngoma ameonyesha kiwango bora katika mechi zote sita za Kombe