read
news & Articles

Simba kambini leo kujiandaa na Coastal Union
Kikosi chetu kitaingia kambini moja kwa moja baada ya mazoezi ya leo jioni tayari kukiandaa na mchezo ujao wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya

Hitimana: Tumecheza kwa presha kubwa
Kaimu Kocha Mkuu Hitimana Thierry, amesema katika mchezo wa leo dhidi ya Polisi Tanzania tulicheza kwa presha lakini tunashukuru kwa kupata alama tatu muhimu. Hitimana

Simba yaendeleza ubabe kwa Polisi Tanzania
Kikosi chetu kimeibuka na ushindi wa bao moja dhidi ya Polisi Tanzania katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC uliopigwa katika Uwanja wa Benjamin Mkapa

Kibu, Kagere kuiongoza Simba dhidi ya Polisi Tanzania
Washambuliaji Kibu Denis na Medie Kagere wataongoza idara yetu ya ushambuliaji katika mchezo wa leo wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Polisi Tanzania utakaopigwa

Tunarejea kwa Mkapa NBC Premier kwa mara ya kwanza
Baada ya kucheza mechi mbili mikoani kwa mara ya kwanza leo kikosi chetu kinarejea kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa kuikabili Polisi Tanzania katika mchezo wa

Gomes: Nitabaki kuwa shabiki mkubwa wa Simba
Aliyekuwa Kocha Mkuu Didier Gomes, amesema Simba itabaki moyoni mwake na ataendelea kuishabikia kutokana na ushirikiano mkubwa alioupata muda wote aliokuwapo. Gomes amesema ataendelea kuiunga
