read
news & Articles

Pablo ajiamini kuwamaliza Red Arrows
Kocha Mkuu Pablo Franco, amesema anaamini tutaibuka na ushindi katika mchezo wetu wa kwanza wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Red Arrows kutoka Zambia

Bwalya: Tumejipanga kutinga makundi Shirikisho Afrika
Kiungo mshambuliaji Rally Bwalya, amesema baada ya kukosa nafasi ya kuingia hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa sasa ni wakati wa kufanya hivyo kwenye

Mabingwa DR Congo kujipima na Simba Queens
Mabingwa wa Ligi ya Wanawake nchini DR Congo Timu ya FCF Amani iliyopo nchini kwa ziara maalumu kesho itacheza mechi ya kirafiki na kikosi cha

Hivi hapa viingilio Simba, Red Arrows
Uongozi wa klabu tayari umeweka hadharani viingilio vya mchezo wetu wa kwanza wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Red Arrows utakaopigwa Jumapili uwanja wa

Mashabiki 35,000 kuziona Simba, Arrows uwanjani
Shirikisho la Soka barani Afrika (CAF) limeruhusu mashabiki 35,000 kuingia uwanjani kushuhudia mchezo wetu wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Red Arrows utakaopigwa Jumapili

Pablo atarajia ukaribisho mkubwa Jumapili kwa Mkapa
Kocha Mkuu Pablo Franco, amefunguka kuwa anatarajia mashabiki watajitokeza kwa wingi kumpa ukaribisho kwenye mchezo wake wa kwanza wa nyumbani ambao utakuwa wa Kombe la
