read
news & Articles

Simba, Mlandege Hakuna Mbabe
Licha ya kupata sare ya bila kufungana dhidi ya Mlandege tumefanikiwa kutinga Nusu Fainali ya Michuano ya Mapinduzi inayoendelea Visiwani Zanzibar. Matokeo haya yametufanya kufikisha

Mugalu kuongoza mashambulizi dhidi ya Mlandege leo
Baada ya muda kupita hatimaye mshambuliaji Chris Mugalu, ameanza katika kikosi cha kwanza kwenye mchezo wetu wa pili wa Michuano ya Mapinduzi dhidi ya Mlandege

Pablo: Tumeazimia kushinda kila mechi
Pamoja na kujihakikishia kutinga Nusu Fainali ya Michuano ya Mapinduzi, Kocha Pablo Franco amesema tunahitaji kushinda kila mchezo. Kuelekea mchezo wetu wa kesho dhidi ya

Bwalya Mchezaji Bora wa Mechi
Kiungo mshambuliaji Rally Bwalya, amechaguliwa mchezaji bora wa mchezo wetu wa kwanza wa Michuano ya Mapinduzi dhidi ya Selem View. Pamoja na kuonyesha uwezo mkubwa

Tumetinga Nusu Fainali Mapinduzi Cup
Ushindi wa mabao 2-0 tuliopata dhidi ya Selem View uliopigwa Uwanja wa Amani umetufanya kutinga Nusu Fainali ya Michuano ya Kombe la Mapinduzi inayoendelea Visiwani

Bocco kuongoza mashambulizi dhidi ya Selem View
Nahodha John Bocco amepangwa kuongoza mashambulizi katika mchezo wetu wa kwanza wa michuano ya Mapinduzi dhidi ya Selem View utakaopigwa Uwanja wa Amani saa 10:15
